kabatimpya
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 231
- 214
Habarini wanagenzi.
Poleni na shughuli za Lusaka mkate.
Kama nilivyojinasibu hapo juu.
Nimehangaika mno kutafuta mbegu halisi ya mimea hiyo niliyoitaja bila mafanikio.naambulia kupata visiki vyake nipande.
Mwenye kufahamu nitapata wapi mbegu zake anielekeze.ziwe kama za mahindi,maharage,papai embe na kadha wa kadha zifananazo na mpangilio huo..
Sihitaji vishina vya kuchomeka nahitaji MBEGU.
Poleni na shughuli za Lusaka mkate.
Kama nilivyojinasibu hapo juu.
Nimehangaika mno kutafuta mbegu halisi ya mimea hiyo niliyoitaja bila mafanikio.naambulia kupata visiki vyake nipande.
Mwenye kufahamu nitapata wapi mbegu zake anielekeze.ziwe kama za mahindi,maharage,papai embe na kadha wa kadha zifananazo na mpangilio huo..
Sihitaji vishina vya kuchomeka nahitaji MBEGU.