yuga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 371
- 255
Wana jf habar zenu..!
Mm nlikua naomba kupata mawasliano na mkuu wa chuo chochote cha serikali kinachotoa STASHADA YA UALIMU WA SEKONDARI SAYANSI NA HISABATI. Naomben msaada au mtu mwenye connection ya uhakika wa kupata nafasi aniconnect nipate hiyo cozi hiyo.
Nimemaliza six mwaka jana nimeaply through nacte sijapata nafasi. Ila nliaply upande wa afya peke yake. Ila nimekosa kwa sababu ya competition kubwa sasa nahitaji nisome ualimu ila nacte mpaka sasa hawajafungua second around na hata wakifungua sina matumaini nao tena.
Nahitaji direct chuoni. Nimesoma mchepuo wa PCB. Ualimu nahitaji nikasome wa Physics na chemistry. Please wana jf naombeni mnisaidie. Mawasliano 0621060153.
Mm nlikua naomba kupata mawasliano na mkuu wa chuo chochote cha serikali kinachotoa STASHADA YA UALIMU WA SEKONDARI SAYANSI NA HISABATI. Naomben msaada au mtu mwenye connection ya uhakika wa kupata nafasi aniconnect nipate hiyo cozi hiyo.
Nimemaliza six mwaka jana nimeaply through nacte sijapata nafasi. Ila nliaply upande wa afya peke yake. Ila nimekosa kwa sababu ya competition kubwa sasa nahitaji nisome ualimu ila nacte mpaka sasa hawajafungua second around na hata wakifungua sina matumaini nao tena.
Nahitaji direct chuoni. Nimesoma mchepuo wa PCB. Ualimu nahitaji nikasome wa Physics na chemistry. Please wana jf naombeni mnisaidie. Mawasliano 0621060153.