Natafuta mawakili mahiri wa kujitegemea wawili, nataka kuishtaki bodi ya mikopo

Head teacher

JF-Expert Member
Mar 10, 2012
1,796
411
Kuna ubabaishaji bodi ya mikopo, nahitaji mawakili wawili nguli wa kusimamia kesi ninayoenda kuifungua mahakama kuu kitengo cha biashara. malipo ya kesi ni ya mdaiwa. naomba tuwasiliane kwa 0755923374 ili tuone namna ya kuitengeneza kesi na ushahidi. naomba kuwakilisha
 
Kuna ubabaishaji bodi ya mikopo, nahitaji mawakili wawili nguli wa kusimamia kesi ninayoenda kuifungua mahakama kuu kitengo cha biashara. malipo ya kesi ni ya mdaiwa. naomba tuwasiliane kwa 0755923374 ili tuone namna ya kuitengeneza kesi na ushahidi. naomba kuwakilisha


Hapo kwenye red hamna kitu kama hicho.
 
Kuna ubabaishaji bodi ya mikopo, nahitaji mawakili wawili nguli wa kusimamia kesi ninayoenda kuifungua mahakama kuu kitengo cha biashara

Ulifanya biashara na bodi ya mikopo? Kwa Nini wakubabaishe wakati umefanya nao biashara inayoeleweka.
 
Back
Top Bottom