Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Kuna ubabaishaji bodi ya mikopo, nahitaji mawakili wawili nguli wa kusimamia kesi ninayoenda kuifungua mahakama kuu kitengo cha biashara. malipo ya kesi ni ya mdaiwa. naomba tuwasiliane kwa 0755923374 ili tuone namna ya kuitengeneza kesi na ushahidi. naomba kuwakilisha