Natafuta maua

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,216
113,510
Jamani eeh mwenzenu natafuta maua tena yale yalokwisha chanua au yanayokaribia kuchanua.

Nisaidieni ndugu zangu wana MMU. Bila maua kwangu hakuna maisha.
 
Mmmh!! Mbona umeifumba sana Pls iweke waz kidogo ili nikusaidie maua gani unayotafuta??!! Wengine ha2jui ushairi!!

Jamani eeh mwenzenu natafuta maua tena yale yalokwisha chanua au yanayokaribia kuchanua.

Nisaidieni ndugu zangu wana MMU. Bila maua kwangu hakuna maisha.
 
maua ya makaburini?ya kumpelekea mgonjwa au ya kupamba sebule?
dadavua nkusaidie kev wangu!!
 
maua ya makaburini?ya kumpelekea mgonjwa au ya kupamba sebule?
dadavua nkusaidie kev wangu!!

Maua ya kupamba sebule, ya nje kwenye landscapping, na mengine ambayo yanapendeza machoni mwa mtazamaji....
 
Maua ya kupamba sebule, ya nje kwenye landscapping, na mengine ambayo yanapendeza machoni mwa mtazamaji....

Eleza uko wapi tukuletee landscape designer

Au kama nini humu JF kuna mawaridi na maua mengine ya kutosha, sema nao
 
Maua ya kupamba sebule, ya nje kwenye landscapping, na mengine ambayo yanapendeza machoni mwa mtazamaji....
poa
upo wap sasa?
km karibu nenda apo namanga,hsby au kule sayansi....km upo mawashngton dc mi sjui uko....au ndo haus mpya?
km ivo wachek nanii apo kawe sjui mbez bich watakwambia..
 
poa
upo wap sasa?
km karibu nenda apo namanga,hsby au kule sayansi....km upo mawashngton dc mi sjui uko....au ndo haus mpya?
km ivo wachek nanii apo kawe sjui mbez bich watakwambia..

Niko Kinondoni Mosko
 
Back
Top Bottom