Natafuta mashine ya kutengeneza peanut butter

Mwanzoni mwa waka huu nilienda pale SIDO maeneo ya Jet lumo kwa mbele kama unaelekea Tazara. Lengo la kwenda pale ni kuulizia mashine flani.

Nikaelekezwa kwenye mashine za jamaa flani pale nikamkuta jamaa anatengeneza peanut butter, ameshajaza kama ndoo kubwa 8, nikajiuliza kumbe hii kitu inatengenezewa hivi.

Nenda pale SIDO hizo mashine zipo.
Asante
 
Ninazo mashine nilipata kutoka EFTA, ni mashine kubwa Imara, nakuuzia bei ya used, kama upo interested nichek pm
 
karibu Tanzaniadeveloper kwa mwenye kampuni ya kutoa mikopo au kikundi au chama cha kuchangishna nikutengenezee system ya kuomba mkopo online kwenye kikundi chochote. Tumia simu yako ya kinganjani kuomb mkopo kiulaisi zaid.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom