Natafuta mashindano ya ushairi popote pale yalipo

UZZIMMA

JF-Expert Member
Nov 20, 2014
406
456
Habarini; Mimi ni mtunzi nguli wa mashairi ya kiswahili. Kwa muda mrefu sana nina hamu ya kushindana na watunzi wenzangu wa mashairi, nikiwa na imani ya kushinda.

Ila sijawahi kusikia wala kualikwa katika mashindano.

Nikifwatilia mtandaoni nakuta mashindano yaliyopita muda ( aidha miezi miwili iliyopita), ila sijawahi kukuta mashindano yajayo.

LENGO KUU.
Kwa yeyote atayeona au kusikia mashindano ya utunzi wa ushairi yajayo, anijulishe haraka sana.
 
Habarini; Mimi ni mtunzi ghuli wa mashairi ya kiswahili. Kwa muda mrefu sana nina hamu ya kushindana na watunzi wenzangu wa mashairi, nikiwa na imani ya kushinda.

Ila sijawahi kusikia wala kualikwa katika mashindano.

Nikifwatilia mtandaoni nakuta mashindano yaliyopita muda ( aidha miezi miwili iliyopita), ila sijawahi kukuta mashindano yajayo.

LENGO KUU.
Kwa yeyote atayeona au kusikia mashindano ya utunzi wa ushairi yajayo, anijulishe haraka sana.
Mkuu, nina mashaka na umahiri wako katika utunzi wa mashairi yako.

Kwa haraka haraka nimeng'amua makosa katika utumizi wa lugha ya uandishi niliposoma maandishi yako.

Katika mashindano ya mashairi utakutana na wamilisi na mahiri wa lugha haswa, wajuao kucheza na tamathari, kunga nahau na mbinu zote za kisanaa kukuacha kwenye mataa. Nakushauri ndugu... Hata kama hujaweka bayana kazi mojawapo uliyoiandaa basi .. Ni heri ukajifunza kwanza kuimudu lugha ya kiswahili...

Usipende kuruka il-hali haujaagana na nyonga.
 
Mkuu, nina mashaka na umahiri wako katika utunzi wa mashairi yako.

Kwa haraka haraka nimeng'amua makosa katika utumizi wa lugha ya uandishi niliposoma maandishi yako.

Katika mashindano ya mashairi utakutana na wamilisi na mahiri wa lugha haswa, wajuao kucheza na tamathari, kunga nahau na mbinu zote za kisanaa kukuacha kwenye mataa. Nakushauri ndugu... Hata kama hujaweka bayana kazi mojawapo uliyoiandaa basi .. Ni heri ukajifunza kwanza kuimudu lugha ya kiswahili...

Usipende kuruka il-hali haujaagana na nyonga.
Huenda wazo hili,likamfaa katika maisha yake
 
Mkuu, nina mashaka na umahiri wako katika utunzi wa mashairi yako.

Kwa haraka haraka nimeng'amua makosa katika utumizi wa lugha ya uandishi niliposoma maandishi yako.

Katika mashindano ya mashairi utakutana na wamilisi na mahiri wa lugha haswa, wajuao kucheza na tamathari, kunga nahau na mbinu zote za kisanaa kukuacha kwenye mataa. Nakushauri ndugu... Hata kama hujaweka bayana kazi mojawapo uliyoiandaa basi .. Ni heri ukajifunza kwanza kuimudu lugha ya kiswahili...

Usipende kuruka il-hali haujaagana na nyonga.
Inawezekana upo sahihi mkuu.

Ila ukiachana na neno nguli (typing error) je ni makosa yapi mengine ya kiuandishi niliyoyafanya mimi kama wewe ni mkweli?
 
Back
Top Bottom