Kim Jong Un
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 497
- 258
Natafuta mtu confident, smart kichwani and good looking ambaye atasaidia kukuza kampuni yangu. (Ladies are more encouraged)
2018 nilifungua kampuni mpya ambapo nimepata contracts 2 mpaka sasa nimeona kuna room kubwa ya kukua. Nomba kupata marketing officer ambaye atakuza kampuni hii. Nitampa daily, weekly and monthly targets. N a KPIs zipo. mshahara utapanda haraka sana.
Nimetenga pesa ya kumlipa ya mwaka mzima so kuhusu mshahara hatakuwa na shida.
Najua kampuni itakua haraka maana this s not my first time nilittangaza hivi nikaanza na kijana namlipa laki na nusu but now analipwa laki tano. kazi yake ni kwenda kwenye cooperate offices na kutangaza kampuni.
nakaribisha mtu serious anitafute - 0766568609
2018 nilifungua kampuni mpya ambapo nimepata contracts 2 mpaka sasa nimeona kuna room kubwa ya kukua. Nomba kupata marketing officer ambaye atakuza kampuni hii. Nitampa daily, weekly and monthly targets. N a KPIs zipo. mshahara utapanda haraka sana.
Nimetenga pesa ya kumlipa ya mwaka mzima so kuhusu mshahara hatakuwa na shida.
Najua kampuni itakua haraka maana this s not my first time nilittangaza hivi nikaanza na kijana namlipa laki na nusu but now analipwa laki tano. kazi yake ni kwenda kwenye cooperate offices na kutangaza kampuni.
nakaribisha mtu serious anitafute - 0766568609