Natafuta marafiki

Sagao

Member
Nov 2, 2010
8
0
Natafuta marafiki wa jinsia zote wenye umri kati ya 25-40 popote duniani. Sina ubaguzi wa dini wala kabila. E-mail yangu ni sagaonew@gmail.com mail zote zitajibiwa kwa muda mfupi. Naitwa Luna Sanga.
 
wapo wengi tu utawapata, pia tuma gazeti la tanzania daima, nipashe, mwananchi na rai... utakua na wengi hadi utachoka:doh:
 
Mi nakuandikia hapa hapa kwamba ningependa kua rafiki yako!Ila umri wako usipungue 26!Uwe na kazi na mpenzi pia!
 
Binafsi ninapenda kuwa na marafiki wengi zaidi kuliko maadui hapa duniani.Kwa maana hiyo,unakaribishwa
Tuwasiliane kupitia:kiuyajibu@jamiiforums.com.
 
Ungesema rafiki wa kibiashara mimi ungenipata,kwa sababu nyie wakinga ndo wenyewe kwa bidii ktk utafutaji !!!!!!!
 
Binafsi ninapenda kuwa na marafiki wengi zaidi kuliko maadui hapa duniani.Kwa maana hiyo,unakaribishwa
Tuwasiliane kupitia:kiuyajibu@jamiiforums.com.

mkuu umetoa Email inayoonyesha uhusiano wa wewe na jf naogopa matapeli. Ila nita ku pm mkuu.
 
Natafuta marafiki wa jinsia zote wenye umri kati ya 25-40 popote duniani. Sina ubaguzi wa dini wala kabila. E-mail yangu ni sagaonew@gmail.com mail zote zitajibiwa kwa muda mfupi. Naitwa Luna Sanga.

me nadhani urafiki ni kitu kinachokuja automatic.hakiombwi.
labda hawa wa huku mtandaoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom