kipakaMwitu
Senior Member
- Feb 19, 2009
- 158
- 20
Natafuta marafiki nitakaokuwa nao kila kukicha kunipa story ili nisahau yafuatayo kichwan mwangu, Umasikini ulikithiri kijijin kwetu, ukosefu wa umeme, barabara na huduma za afya. Kila mwka natumia milion kadhaa kuwaleta town kwa matibabu ndugu, anayekuja hataki ondoka,akidai huku kwetu hakuna 'ucku'. NATAFUTA RAFIKI MWENYE SIFA ZIFUATAZO:- Awe mtz mwenye kuchukia ufisadi, mwanaharakat, mpenda nch, asiwe chama chochote chenye maslah binafs. Karibun tuliwazane!