Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,466
- Thread starter
- #261
Ndio maana toka mwanzo nilikwambia kwa deal za madini mtafte mrangi
Usijali....mimi mwenyewe nipo jikoni kbsaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana toka mwanzo nilikwambia kwa deal za madini mtafte mrangi
sasa usisahau kumpa ajira aiseUsijali....mimi mwenyewe nipo jikoni kbsaa
Mama yangu huyu mkuu, hawezi niacha
Wanajinsia zote?! Wanaweza ku fall under wafanyabiashara piaQueer people huwa hawaji identify as wanawake au wanaume.
wakati unamsubiri nakuja PM mkuu tujadili...Njoo pm tuongee biashara nahtaji partner wa kufanya nae biashara kuna sehemu kuna marudio km yote nimeyapima yanasoma vizuri tu na awajui km ni biashara wanayamwaga mtoni yanaenda na maji tu.
Njoo pm tuongee biashara nahtaji partner wa kufanya nae biashara kuna sehemu kuna marudio km yote nimeyapima yanasoma vizuri tu na awajui km ni biashara wanayamwaga mtoni yanaenda na maji tu.
wakati unamsubiri nakuja PM mkuu tujadili...
ruhusa yako tafadhali..
Karibuwakati unamsubiri nakuja PM mkuu tujadili...
ruhusa yako tafadhali..
hahahahahaahhaa inabidi tusalitiane tuu hamna namna..Ahqa boss mtoto😅
hahahahaaa mkuu bila kusahau...mapanulizi,mausafi,kupiga tilling,bomba shaft,mamzamo,kufleshia,kufulisha,senga,masesa,lukili,ng'ana,beam,kupembua,limejikopa la manyani,matestio,freemason na mengine mengi...Nimekumbuka tu misamiati michache tu kama vile . 'matanda, timber, kufunga timber ama box,nyunga, mkanda kupiga fonga, mtobozano, kupiga moto, ndege john , faza gola,Na "kuzamisha duala" hapo ndpo wachmbaj wadogo wanapoteza au kuwa mamilionea
Ntakuja tena kukusalimu mdogo wangu Maneno huko "Matanda"
Hahahaah umezid nikumbusha mkuu misamiati mengine ni vikole,manta na matoneahahahahaaa mkuu bila kusahau...mapanulizi,mausafi,kupiga tilling,bomba shaft,mamzamo,kufleshia,kufulisha,senga,masesa,lukili,ng'ana,beam,kupembua,limejikopa la manyani,matestio,freemason na mengine mengi...
hahahaha ntawakumbusha mkuu wangu....huku watu wameperrreeaa...maana matimbbba yanakula si kawaida...panulizi la kanusu mzamo tu box moja ya miti 24...hilo hakuna neno maana mainspekta wako makini na makota wanajitahidi kununua kila kinachopatikana kwahyo wako watu wanahila na wengine wanachumera vilevile....kuhusu usalama wao kabla ya kuzama manta ntawaambia mkuu bila kusahau malipo halali kutoka kwa wachama kwenda wa vijana wa shift na bila kusahau kuuza la kambi kila baada ya siku moja lkn sasa wakianza kusort kamchirizi kwenye nguzo itawakost mkuu lazma wajenge box na kauchanja juu..hahhahaa..Hahahaah umezid nikumbusha mkuu misamiati mengine ni vikole,manta na matonea
Usisahau waambia vijana wazingatie kufunga timber, waweke pa kupumzikia, pia wasichimbe nguzo maana duara likiitika tutapoteana😀😀😀
hahaha mkuu usiasi kambi bhana....uza nyanya lkn usitusahau kwa ma miner...Ingekuwa si haka kagenge kangu ka nyanya sa hizi ningekuwa napiga boya au nashikisha😀😀😀
Hahahahah jasir haachi asili mkuu ntarud tu wacha nazichange kwanza hapa gengenihahaha mkuu usiasi kambi bhana....uza nyanya lkn usitusahau kwa ma miner...
jitahidi kabla mlio haujanyamaza mkuu...Hahahahah jasir haachi asili mkuu ntarud tu wacha nazichange kwanza hapa gengeni