Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mamboz wana jf
mimi ni wana jf mwenzangu mimi ni mdada natafuta marafiki wa kuchat na kubadilishana mawazo;
Karibu baby!mamboz wana jf
mimi ni wana jf mwenzangu mimi ni mdada natafuta marafiki wa kuchat na kubadilishana mawazo;
Toa mawasiliano bana!
au ameshapata alichokuwa anakipata!Yupo bize kujibu PM,atarudi muda si mrefu...
Nenda fb kuna wenzako kibao.
Unatafuta wa jinsia gani?
Babu Chondo nimezimia hiyo avatar yako!
Eti siku hizi wanasema FB watoto wengi hawana hela, ukitaka 'mibuzi' na 'mishuga dadi/mami' inapatikana JF...ndio maana unawaona wengi hapa waume kwa wake, post ya kwanza utambulisho, ya pili anatafuta 'pea'!
duh! mpaka majini??????? jini kwani linajua kusoma na kuandika? mh! kama ni hivo najitoa na huu ndo mwisho wangu JF. lakini ngoja kwanza kama wewe dada sio jini basi ni PM nianze mashambuliziNenda fb ndugu humu utapata hadi majini..
<br />namjibia kuwa ni wajinsia zote maana kasema marafiki