Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,387
- 9,755
- Thread starter
- #21
Shule ya Nini dogo kama huelewi wewe ndie unahitaji kwenda shule... Unasoma ili upate kazi mbona Punda hajasoma lakini kazi anayo? Ficha upumbavu wako Busara itawale...Ndio umeandika nini sasa?? nini maana ya undercover alafu unataka kuoa mapacha!! Nenda shule kwanza!!
Ndukidi samahani sihitaji kakapoa Sorry..
Last edited by a moderator: