Tumpara Dudu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 617
- 487
Habari za muda huu wapendwa? Kama mnavyoona katika title hapo mimi nipo Dar, Tanzania nahitaji majoho 15 ya watoto wa Nursery kwaajili ya kukodi na nayahitaji siku ya tarehe 8/12/2017. Yeyote aliyenayo au anajua ambapo naweza kuyapata, kwa heshima kubwa na taadhima naomba anitafute tuongee kikazi