Wandugu, nina stationery shop USA River - Arusha na nataka kuanza kuuza cartons za photocopy papers kwani nimeona upo uhitaji mkubwa toka kwa wateja wangu. Badala ya kununua ream moja moja, wengine wanahitaji niwauzie carton nzima yenye ream 5 kwa bei ya jumla siyo ya reja reja.
Kwa maduka kadhaa niliyozungukia mjini Arusha naona kama bei yake iko kuanzia 30,000/= kwenda juu na nikichukua kwa bei hii naweza nikapata changamoto ya wateja wangu kuchukua kama nitaongeza elfu mbili- tatu kwa kila carton.
Ninaulizia kama kuna mahali naweza kupata kwa shs. 28,000/ kwa carton kwani kwa kuanza nataka kuchukua cartons 40
Unaweza kuni PM kama utaona siyo vizuri kuweka mawasiliano hapa.
Kwa maduka kadhaa niliyozungukia mjini Arusha naona kama bei yake iko kuanzia 30,000/= kwenda juu na nikichukua kwa bei hii naweza nikapata changamoto ya wateja wangu kuchukua kama nitaongeza elfu mbili- tatu kwa kila carton.
Ninaulizia kama kuna mahali naweza kupata kwa shs. 28,000/ kwa carton kwani kwa kuanza nataka kuchukua cartons 40
Unaweza kuni PM kama utaona siyo vizuri kuweka mawasiliano hapa.