Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Kuna mtu kakushaur atumie persol ok saw ni nzur ila zipo according to levels na concentration kuna ya 3.5 5 na ile kubwa zaid yaan ile ya free acne so amewah tumia dawa yoyote ya kutoa hizo chunusi mwanzo

Second vipi amewah kutoa mimba na je mzunguko wake wa hedhi ukoje? Hapa panaweza leta majibu mazur zaid ya tatizo.
iyo persol gs imekaaje mkuu .. hata wanaume twaweza pakaa iyooo
 
Kuna Acnotin za 10mg and 20mg. Kama tatizo lakobni kubwa yani una chunusi nyingi unatumia 20mg na kama unazo za kawaida basi unaweza tumia za 10 mg. Bei ya 10mg kwenye pharmacy nyingi ni 15,000-18,000 kwa vidonge 10. But kuna pharmacy ipo kkoo mtaa wa kongo (in case upo dsm) bei yao ipo chini kidogo. Vidonge thelathin wanauza 36,000 if not 39,000. Halafu 20mg inarange kwenye 18,000-20,000.
Je kama nampango wa kubeba mimba miaka mi3 ijayo bado kuna effect?
 
Nina sumbuliwa na chunusi yapata miaka saba sasa,nilishauriwa nisipake mafuta yoyote usoni lakini bado haijasaidia.Naona usoni nimekua na madoa na chunusi bado zipo. Nimeshauriwa nitafute clairmen cream,lakini naona ina hydroquinone ambayo wataalam wanasema so nzuri kwenye ngozi. Msaada wenu tafadhali, cream/lotion ninayoweza kutumia maana Uso hautamaniki. Mimi ni mwanaume,rangi ya ngozi yangu,maji ya kunde.

habari,
jipatie sabuni original za shaza kutoka burundi sabuni ambazo hutumiwa na jinsia zote kwa wanawake na wanaume mpaka watoto,pia ni sabuni pekee zitazoweza kukusaidia kuondokana na matatizo ya chunusi,mapele na hata magonjwa ya ngozi ya muda mrefu,husaidia kuiacha ngozi katika hali ya ukavu unaopendeza na kuondoa mafuta mengi usoni.
nauza sabuni moja kwa elfu 2 tu na pia kwa wale wa jumla nauza kwa box moja shilingi elfu 60. tunapatikana dar es salaam ilala pia tunafanya delivery ndani na nje ya dar es salaam karibuni sana
0659756647
IMG_1362.JPG
 
Yaaah hata boys wanatumia ila kwa wanaume mara chache sana nmepokea kesi hizi huwa ni kina Dada ndo wanasumbuliwa sana

Hyo persol huwa znaanzia chini kwa wale ambao hajawah tumia kabisa dawa yoyote kutibu chunusi/acne ndo unaanzia na 2.5 ikigoma unaenda za juu hivo hivo na unaweza pewa na antibiotics kama erythromycin kuuwa those bacteria ambazo wanakuwa inside kwenye chunusi
iyo persol gs imekaaje mkuu .. hata wanaume twaweza pakaa iyooo
 
Yaaah hata boys wanatumia ila kwa wanaume mara chache sana nmepokea kesi hizi huwa ni kina Dada ndo wanasumbuliwa sana

Hyo persol huwa znaanzia chini kwa wale ambao hajawah tumia kabisa dawa yoyote kutibu chunusi/acne ndo unaanzia na 2.5 ikigoma unaenda za juu hivo hivo na unaweza pewa na antibiotics kama erythromycin kuuwa those bacteria ambazo wanakuwa inside kwenye chunusi
okay !! umeizungumzia vizuri ..labda na ww unaziuza izi dawaa nikucheki
 
chunusi zipo za aina mbili
1. aina ya kwanza ni chunusi unapata ukiwa kwenye balehe, aisee zile utapambana nazo sana lakini lazima ujue yale ni mabadiliko katika mwili yatatokea kwa muda fulani then yatapita. Shida moja ni kuwa katika balehe ni kipindi ambacho kama kijana unajiskia na unataka kuwa mkamilifu hasa katika maumbile na muonekano wako.
2. aina ya pili ya chunusi mi naiona ni ile nikikaa muda mrefu bila kushiriki tendo zinatokeaga tu, hii dawa yake ni kupiga mashine tu.
au kupigwa mashine pia? Daaah ushauri wako wa pili ni wa kichakaramu sana
 
Jamani wa ungwana mdogo wangu anasumbuliwa sana na chunusi na mabaka yake....usoni.....kifuani na mgongoni.......naomba ushauri atumie dawa gani kuepusha ayo.....

Bila kuharibu ngozi wala rangi yake.
Umri 18.....jinsia Ke.

Asanteni.
Poleni sana, kwa changamoto hiyo, hilo linatibika kabisa na kufanya lisijirudie tena bila kuleta madhar yoyote, katika ngozi na hata katika kinga za ulinzi wa mwili wake.
Tuwasiliane kwa ushauri na Matibabu.
0784969283
 
Ayo makitu nadhani Ni genetic makeup,Kuna watu wanakuwaga Kama fenesi ila subiri watalamu wa ngozi wakushauri mkuu
 
Dawa zipo nyingi ila inategemea na ngozi yako. Kuna ngozi ina mafuta sana na kuna kavu ama mafuta kiasi.

Na kuna ngozi zinakubali dawa haraka na kuna ngozi zinareact taratibu. Kuna dawa za asili na za wazungu

Dawa za asili
1. Changanya manjano, liwa, limao na asali ama ndizi mbivu. Unapaka asubuhi kabla hujatoka unakaa nayo dakika 20, unanawa uso wako na sabuni ya kawaida tu, maji ya uvuguvugu. Usiku pia kabla hujalala

2. Sugua uso wako na nyanya then kaa dakika 15/20 kisha nawa uso.

3. Ute wa alovera paka usoni acha dakika 20. Pendelea kuosha uso wako na maji ya uvuguvugu.

Zipo nyingi sana

Dawa za dukani aka mzungu
1. Botouer anti acne
2. Faiza
3. Neutroderm

Use one among them you’ll thank me later!!! Chunusi zilikuwa hazinikauki usoni ila sasa hivi nimekua msofti hatari ngozi laini kama sijawahi pata chunusi.
 
Changanya unga wa dengu na majivu na limao weka na maji kidogo pakaa asubuhi subiri kwa nusu saa. Endelea na mambo mengine, na jioni kabla ya kulala fanya hivyo hivyo. Wiki moja haitakwisha utakuwa kama mtoto mchanga.
 
Ina
Kuna Acnotin za 10mg and 20mg. Kama tatizo lakobni kubwa yani una chunusi nyingi unatumia 20mg na kama unazo za kawaida basi unaweza tumia za 10 mg. Bei ya 10mg kwenye pharmacy nyingi ni 15,000-18,000 kwa vidonge 10. But kuna pharmacy ipo kkoo mtaa wa kongo (in case upo dsm) bei yao ipo chini kidogo. Vidonge thelathin wanauza 36,000 if not 39,000. Halafu 20mg inarange kwenye 18,000-20,000.
Inaitwaje hio pharmacy
 
Back
Top Bottom