Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,592
- 112,642
2500-3000 haizidi hapoBei gani?
2500-3000 haizidi hapoBei gani?
Unaeza kupewa bile prescription ya doctor?Kuna Acnotin za 10mg and 20mg. Kama tatizo lakobni kubwa yani una chunusi nyingi unatumia 20mg na kama unazo za kawaida basi unaweza tumia za 10 mg. Bei ya 10mg kwenye pharmacy nyingi ni 15,000-18,000 kwa vidonge 10. But kuna pharmacy ipo kkoo mtaa wa kongo (in case upo dsm) bei yao ipo chini kidogo. Vidonge thelathin wanauza 36,000 if not 39,000. Halafu 20mg inarange kwenye 18,000-20,000.
Unaeza kupewa bile prescription ya doctor?
Ni wa jinsia gani na ana umri gani?Jamani wa ungwana mdogo wangu anasumbuliwa sana na chunusi na mabaka yake....usoni.....kifuani na mgongoni.......naomba ushauri atumie dawa gani kuepusha ayo.....
Bila kuharibu ngozi wala rangi yake.
Asanteni.
Ni wa jinsia gani na ana umri gani?
Mpeleke hospital kwa ushahuri zaidi
Okay... Thank youKwa wadada wenye umri wa kushika mimba, au kwa wamama wajawazito, epukeni kutumia Acnotin (Isotretinoin) , (Potent Vitamin A analogue), hii inaweza sababisha birth defects (kasoro/uharibifu wa vichanga wa kuzaliwa nao).
Wajawazito, wanaonyonyesh, na kwa watoto wote mpaka umri wa miaka 12, epukeni Doxycycline, kwani hii ni inachakachua ukuaji wa mifupa ya vichanga/ watoto na pia huyafanya meno ya watoto kuwa manjano.
baking poda kidogo (kijiko cha chai) changanya na mafuta ya nazi kijiko kikubwa, sugua usoni dk 10.
Baada ya dk 10 osha uso wako
Fanya hivi mala 3-4 kwa wiki.
Atumie persol GSJamani wa ungwana mdogo wangu anasumbuliwa sana na chunusi na mabaka yake....usoni.....kifuani na mgongoni.......naomba ushauri atumie dawa gani kuepusha ayo.....
Bila kuharibu ngozi wala rangi yake.
Umri 18.....jinsia Ke.
Asanteni.
Hii ndo dawa kibokooAtumie persol GS
Hii ndo dawa kibokoo
Nenda pharmacyNapata wapi mkuu
Jamani wa ungwana mdogo wangu anasumbuliwa sana na chunusi na mabaka yake....usoni.....kifuani na mgongoni.......naomba ushauri atumie dawa gani kuepusha ayo.....
Bila kuharibu ngozi wala rangi yake.
Umri 18.....jinsia Ke.
Asanteni.