Duh... siku hizi laptop zimeshuka thamani namna hii?Habari wana JF Natafuta laptop kwa anayeuza laki na nusu.. iwe na vigezo vyote muhimu kwa aliye tayari kuuza..nipo dar es salaam ubungo
Hahahahahaha....wewe unatafuta mdoli, sio laptop. Simu ya maana tu huwezi kupata kwa bei hiyo, sembuse laptop!!Habari wana JF Natafuta laptop kwa anayeuza laki na nusu.. iwe na vigezo vyote muhimu kwa aliye tayari kuuza..nipo dar es salaam ubungo
Hivo vigezo muhimu kwako ni vip?Habari wana JF Natafuta laptop kwa anayeuza laki na nusu.. iwe na vigezo vyote muhimu kwa aliye tayari kuuza..nipo dar es salaam ubungo
150 anapata laptop ya kawaida sana kwa kusomea au wazee wa kuingiza nyimbo inafanya ila kama ni kwa ajili ya kufanya Grahics or programming lazma upande uanzie 400k au ukiwa ba 300k subiri vijana watoke chuo wafilie kidogo mtaana utapata kwa bei simple tu mm nilinunua kama 3 mwaka jana kwa 250k kila moja laptop zilizoenda shule nikazisukuma kwa 500k kila moja mbeya wilayan wkat wa mavuno.Hahahahahaha....wewe unatafuta mdoli, sio laptop. Simu ya maana tu huwezi kupata kwa bei hiyo, sembuse laptop!!
Ni aina gani mkuuMkuu mimi nanayo ila sijaitumia mda mrf kwshyo ukiinunua inabidi umuone fundi apige Windows