Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 186
Wakuu,
Natafuta mtu anayeweza kuchukua co-ordinates za kiwanya changu ili kuweza kupata ramani ya mipango miji. Lengo ni kujua mipaka ya barabara ili kuepuka usumbufu wa bomoa bomoa miaka ijayo.
Nahitaji hii kitu kwa haraka sana. Kama unamfahamu mtu mwaminifu na anaependa kazi yake, nitashukuru kama utanitumia contact zake.
Natanguliza shukrani.
Natafuta mtu anayeweza kuchukua co-ordinates za kiwanya changu ili kuweza kupata ramani ya mipango miji. Lengo ni kujua mipaka ya barabara ili kuepuka usumbufu wa bomoa bomoa miaka ijayo.
Nahitaji hii kitu kwa haraka sana. Kama unamfahamu mtu mwaminifu na anaependa kazi yake, nitashukuru kama utanitumia contact zake.
Natanguliza shukrani.