ROKY
Senior Member
- May 4, 2011
- 182
- 70
Wana JF,
Natafuta bulldozer la kukodi kwa ajili ya kusafishia shamba jipya.
Maana yake ni kusafisha pori na kung'oa visiki kwa kutumia bulldozer.
Nataka kujua mwenye bulldozer anatoza shilingi ngapi kwa siku / saa.
Mahali yalipo mashamba hayo mapya ni mkoa wa pwani, kilometa 100 toka Dar es Salaam.
Kutokana na hali ya pori lenyewe, bulldozer hili liwe la namna hii hapa kwenye picha.
Yaani, bulldozer lenye 'kijiko' mbele kwa ajili ya kuangusha pori, na 'meno' nyuma kwa ajili ya kuvuta na kung'oa visiki.
Natafuta bulldozer la kukodi kwa ajili ya kusafishia shamba jipya.
Maana yake ni kusafisha pori na kung'oa visiki kwa kutumia bulldozer.
Nataka kujua mwenye bulldozer anatoza shilingi ngapi kwa siku / saa.
Mahali yalipo mashamba hayo mapya ni mkoa wa pwani, kilometa 100 toka Dar es Salaam.
Kutokana na hali ya pori lenyewe, bulldozer hili liwe la namna hii hapa kwenye picha.
Yaani, bulldozer lenye 'kijiko' mbele kwa ajili ya kuangusha pori, na 'meno' nyuma kwa ajili ya kuvuta na kung'oa visiki.