Natafuta kiwanja

Enny

JF-Expert Member
May 26, 2009
962
130
Natafuta kiwanja heka moja kwaajili ya kujenga nyumba ya kuishi na kuweka mifugo pia.
 
Asante mzee natafuta maeneo ya Dar es Salaam
 
Asante mzee natafuta maeneo ya Dar es Salaam

Si mbaya ukisogea maeneo ya kibaha unaweza kupata kwa kujinafasi na watu wengi wanaishi huko ofisi zao zikiwa Posta. Dar heka moja jiandae mzee, au weka offer yako watu wajue wanakusaidia vipi. Sentesi bado iko kny mabano. Offer ngapi???????
 
Mi ninayo (serious) ipo Kigamboni Gezaulole, ni 12Km kutoka kwny Kivuko ina kibanda kidogo kinafaa kwa kuweka mlinzi. Ukihitaji nicheck kwa Namba 0787 111 123 tuongee bei!
 
Chanika dsm,kabla hujafika chanika kuna viwanja vilipimwa na serikali kushoto kiwanja kipo kama km 3 toka bara2 kuu
 
Si mbaya ukisogea maeneo ya kibaha unaweza kupata kwa kujinafasi na watu wengi wanaishi huko ofisi zao zikiwa Posta. Dar heka moja jiandae mzee, au weka offer yako watu wajue wanakusaidia vipi. Sentesi bado iko kny mabano. Offer ngapi???????
Afu DSM ataweka wapi mifugo, mangi huku sio nyumban. Kibaha panalipa zaidi kama unataka kuweka mifugo
 
Nunua kiwanja maeneo ya Kinyerezi-Kifuru, Dar es Salaam.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na ndugu Oswald Sh. Richard kwa simu namba :
00255784342632 au +255767342632
E-mail : cosiastore@yahoo.fr
Viwanja vipo umbali wa kilomita 1 toka barabara ya Kinyerezi-Mbezi. Hivi vipo viwanja 14. Vina ukubwa usio sawa.Vipo vya mita 22x25, 20x23, 27x23 na 20x20. Bei zake ni Tshs. 7 millioni kila kimoja. Eneo hili limefikiwa na mradi wa Serikali wa kuwekewa umeme, na wameshaweka nguzo ila bado kuweka nyaya na hatimaye kukamilisha mradi. Maji ya uhakikika kwa sasa ni kama umbali wa kilomita 2.
 
Nunua kiwanja maeneo ya Kinyerezi-Kifuru, Dar es Salaam.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na ndugu Oswald Sh. Richard kwa simu namba :
00255784342632 au +255767342632
E-mail : cosiastore@yahoo.fr
Viwanja vipo umbali wa kilomita 1 toka barabara ya Kinyerezi-Mbezi. Hivi vipo viwanja 14. Vina ukubwa usio sawa.Vipo vya mita 22x25, 20x23, 27x23 na 20x20. Bei zake ni Tshs. 7 millioni kila kimoja. Eneo hili limefikiwa na mradi wa Serikali wa kuwekewa umeme, na wameshaweka nguzo ila bado kuweka nyaya na hatimaye kukamilisha mradi. Maji ya uhakikika kwa sasa ni kama umbali wa kilomita 2.
Mzee kifuru huko si ndo kwenye migogoro sana?weka vizuri hilo
 
Mzee kifuru huko si ndo kwenye migogoro sana?weka vizuri hilo
Viwanja hivi havina mgogoro wowote. Uko huru kutembelea eneo na hata kufanya uchunguzi kwa majirani kabla ya kununua.
Napenda kuwa wazi ili usipate matatizo. Mimi ni mtanzania mwenzako ndugu yangu.
Nakutakia jumapili njema.
 
Si mbaya ukisogea maeneo ya kibaha unaweza kupata kwa kujinafasi na watu wengi wanaishi huko ofisi zao zikiwa Posta. Dar heka moja jiandae mzee, au weka offer yako watu wajue wanakusaidia vipi. Sentesi bado iko kny mabano. Offer ngapi???????

Unapata kwa bei gan kibaha
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom