iJamii
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 1,960
- 1,498
Hicho cha goba kina ukubwa gani!!? Na kipo goba sehemu gani?Kipo Goba kikubwa sana tuwasiliane 0717569086.
Hicho cha goba kina ukubwa gani!!? Na kipo goba sehemu gani?Kipo Goba kikubwa sana tuwasiliane 0717569086.
Mkuu ni pm namba,mdogo wangu aje leo kuona mumalizaneyeah mda wowote ukiwa free unaweza kuja kukiona ntaku pm no zangu
Kipo maeneo ya Goba darajani, Pia kimekaa sehemu nzuri ambayo ni flat kabisaaaa, metre 60 kutoka barabara kuu ya Goba Makongo!Hicho cha goba kina ukubwa gani!!? Na kipo goba sehemu gani?
Sh ngapKipo maeneo ya Goba darajani, Pia kimekaa sehemu nzuri ambayo ni flat kabisaaaa, metre 60 kutoka barabara kuu ya Goba Makongo!
Kiwanja kina square metre 1412, bei yke ni 35 mil - 30 mil!Sh ngap
60mBei please
Ungeweka na bei ingekuwa poa
jamani nimefuliaaa mwenye pesa naomba nimuuzie hiki kiwanja
Kipo maeneo gani?
jamani nimefuliaaa mwenye pesa naomba nimuuzie hiki kiwanja
Madale sehemu gani na bei je?Madale hutaki?
Bei kubwa sana hiyo wacha tuendelee kudunduliza wengineKiwanja kina square metre 1412, bei yke ni 35 mil - 30 mil!
Mkuu mimi nina 40 kwa 50 bei yake 28ml kipo goba mjiniBei kubwa sana hiyo wacha tuendelee kudunduliza wengine
Leten bei ambazo hazizidi 7MMkuu mimi nina 40 kwa 50 bei yake 28ml kipo goba mjini
Oooh sawa kabisa, tunakata plot 20 kwa 25 bei 6.8ml maeneo ya mbele ya bunju kidogo ukivuka daraja tu maeneo ya kyarakaLeten bei ambazo hazizidi 7M
Ndugu mkoa wa pwani nna mashamba ya kutosha ndiyo maana nkawa nnatamani nipate maeneo ya mjini Dar es SalaamOooh sawa kabisa, tunakata plot 20 kwa 25 bei 6.8ml maeneo ya mbele ya bunju kidogo ukivuka daraja tu maeneo ya kyaraka
kwa mahitaji ya viwanja na mashamba kwa maeneo ya tegeta,boko,bunju na bagamoyo call:0657528088 karibuni sana