Natafuta kiwanja Morogoro mjini

jesanga

Member
Dec 23, 2015
15
0
Samahani mm mgeni humu ndani sijui km nimepost sehemu sahihi.
Nahitaji msaada km kuna mtu ana kiwanja Morogoro mjini kwa ajili ya kujenga nyumba ya kawaida tu, (aniuuzie isiwe nje sana ya mji mfano ikiwa 7 to 8 km from ofisi za manispaa ni vema zaid). Pia nahitaji nyumba ya kupanga Morogoro mjini pia iwe ya familia moja au km kuna familia nyingine basi kusiwe na kuchangiana..sifa za nyumba iwe na 3bedrooms.sitting room.kitchen na iwe na fensi pia parking.Asnteni
 
jaribu kucheki na site ya kupatana.com utapata muongozo mzuri.
 
Kuna kiwanja kilikuwepo morogoro, kimepimwa na kilikuwa kinatakiwa kilipiwe tu ila aliyetakiwa kulipia hakuwa na pesa wakati huo ni kama wiki 2 zilizopita na kwa bahati mbaya mimi pia sikuwa na pesa kiwango nilichokuwa nacho nilinunua plot maeneo ya mindu. Kama hutojali kesho nikumbushe kwa 0652112026 nikuunganishe nae ulipie wewe.
 
Samahani mm mgeni humu ndani sijui km nimepost sehemu sahihi.
Nahitaji msaada km kuna mtu ana kiwanja Morogoro mjini kwa ajili ya kujenga nyumba ya kawaida tu, (aniuuzie isiwe nje sana ya mji mfano ikiwa 7 to 8 km from ofisi za manispaa ni vema zaid). Pia nahitaji nyumba ya kupanga Morogoro mjini pia iwe ya familia moja au km kuna familia nyingine basi kusiwe na kuchangiana..sifa za nyumba iwe na 3bedrooms.sitting room.kitchen na iwe na fensi pia parking.Asnteni

Kipo kiwanja nanenane kimepimwa kina hati na kimejengwa nyumba hadi madirisha. Nyumba kubwa ya vyunba vinne master 2 moja ni kubwa sana sq meter 900. Bei million 30. Karibu.
 
Samahani mm mgeni humu ndani sijui km nimepost sehemu sahihi.
Nahitaji msaada km kuna mtu ana kiwanja Morogoro mjini kwa ajili ya kujenga nyumba ya kawaida tu, (aniuuzie isiwe nje sana ya mji mfano ikiwa 7 to 8 km from ofisi za manispaa ni vema zaid). Pia nahitaji nyumba ya kupanga Morogoro mjini pia iwe ya familia moja au km kuna familia nyingine basi kusiwe na kuchangiana..sifa za nyumba iwe na 3bedrooms.sitting room.kitchen na iwe na fensi pia parking.Asnteni

Ha nami ninacho kipo Tubuyu mbele ya nanenane ni kama km 2 toka barabara ya rami kimejengwa hadi rinta na mashimo ya choo yamejengwa madhari nzuri sana majirani wa ukweli kina hati safi kila kona imeshajengeka. Bei million 50.
 
Vinapatikana boss wangu. Wasiliana nami 0754060350

Naomba nipigie pls. simu yenye namba yako inazingua. 0754060350.

Maeneo ya mjini bei ipo juu kidogo. ila kuna eneo la kuweza kujenga hostel maeneo ya sua Umeme na Maji yapo karibu bei 8.5m. Eka kumi zipo mkundi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom