Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sema unachotaka sikukatazi sema sana ila usijifanye unajuwa kila kitu kama unauza kiwanja chako kwa milion 16 au hata Milion 100 sema ila usizibe milango kwa wengine kwamba sitapata.Huo ndio ushauri wangu
Kuna eneo linaitwa MBUTU, huko ni karibia 30kms from ferry. Huko anaweza kupata hicho kiwanja, na kimepimwa.Kiwanja cha kupimwa kwa bei hiyo upati hata kidogo hata ukipewa miaka miwili kukitafuta! Take it from bilieve dat hommie hatubishani hapa tunaelimishana tu!!
Kiwanja cha kupimwa kwa bei hiyo upati hata kidogo hata ukipewa miaka miwili kukitafuta! Take it from bilieve dat hommie hatubishani hapa tunaelimishana tu!!
Ukiuliza location utaambiwa RAS DEGE, AMANI GOMVU, MBUTU, n.k.Nakushangaa ukisema sipati? viwanja 30 vilitangazwa kwenye issa michuzi na bei zake ilikuwemo million 6 na 7 na kuendelea. Nimempigia simu jamaa leo anasema watu wameishakiwahi cha bei hiyo kimebakia cha 7 million na kuendelea.
Ninyi mnasema tu hamna hakika na msemalo. Usipende kujifanya unajuwa kila jambo
chakua kati ya hivi , kuna sqm 300 gezaulole kina ofa, sqm 700 bweni kina hati, sqm 400 mzambarauni mbagara kina hati . sqm 775 changanyikeni kina hati , 0657 145555
akiri, hivyo vyote ni bei moja ya kama mdau alivyotaka au ni bei tofauti????
chakua kati ya hivi , kuna sqm 300 gezaulole kina ofa, sqm 700 bweni kina hati, sqm 400 mzambarauni mbagara kina hati . sqm 775 changanyikeni kina hati , 0657 145555
hapana Tatizo la Dar watu hawana majina , majina yanajirudia yale yale hii ipo mbele ya gongo la mboto ni km unaenda kisalaweIcho Cha Changanyiken Ni Kule Nyuma ya Udsm?
hapana Tatizo la Dar watu hawana majina , majina yanajirudia yale yale hii ipo mbele ya gongo la mboto ni km unaenda kisalawe
hapana Tatizo la Dar watu hawana majina , majina yanajirudia yale yale hii ipo mbele ya gongo la mboto ni km unaenda kisalawe
Ukiuliza location utaambiwa RAS DEGE, AMANI GOMVU, MBUTU, n.k.
Nakushangaa ukisema sipati? viwanja 30 vilitangazwa kwenye issa michuzi na bei zake ilikuwemo million 6 na 7 na kuendelea. Nimempigia simu jamaa leo anasema watu wameishakiwahi cha bei hiyo kimebakia cha 7 million na kuendelea.
Ninyi mnasema tu hamna hakika na msemalo. Usipende kujifanya unajuwa kila jambo
Jamaa mbishi sana sie wazoefu tunamuelekeza analeta ujuaji,viwanja anavyotaka yeye ndio hvyo vya gezaulole ambapo bado pori,amani gomvu ni mbali sana kule labda baada ya miaka 20 ndio kutakuja kua kama kibada,viwanja navyomtajia ni tayari watu washapiga maghorofa yao!! Umeme upo!! Sqm 1200 anapata garden,parking lot,sehemu ya kuchezea watoto,sehemu ya kuchimba makaro,sehemu ya kuchimba kisima cha maji n.k
Jamaa mbishi sana sie wazoefu tunamuelekeza analeta ujuaji,viwanja anavyotaka yeye ndio hvyo vya gezaulole ambapo bado pori,amani gomvu ni mbali sana kule labda baada ya miaka 20 ndio kutakuja kua kama kibada,viwanja navyomtajia ni tayari watu washapiga maghorofa yao!! Umeme upo!! Sqm 1200 anapata garden,parking lot,sehemu ya kuchezea watoto,sehemu ya kuchimba makaro,sehemu ya kuchimba kisima cha maji n.k
Anataka kwa Tshs 6Mil zake nae awe anatu-join pale Full Shangwe kwa mguu mida ya jioni, ha ha ha!!
E bana ntakutafuta kaka, soon naanza project yangu pale Block 10.