Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Hahahaaa anaplay makida makida kweli Full Shangwe unyamwezini...Au hawamuoni muarabu wa kibada mpoki akila upepo pale!!!
Ha ha ha,
E bana hivi hawa Jamaa wa Serikali lini watakuja kutuchongea barabara za mitaani aisee??
maoma kama ndio ishatoka hiyo, tumeingizwa chaka!!
Au we waonaje mkuu wangu??
Wamechonga tu mpaka block 6 nafikiri, tena upande wa kulia tu.