nahitaji kiwanja cha kununua kati ya sh, million 3 mpaka 5..kiwe maeneo yenye maji na umeme na maeneo ya kuishi.....pls wasiliana na mimi 0658-000-569 nahitaji kiwanja hicho mapema.
Sio mbaya kaka hata huko kisongo...ila nilipenda maeneo ya mwanama chini kule
kuna plots zinauzwa kisongo .nenda utapata ofisi ya kijiji watakuelekeza.
Kaka embu leta details za hicho kiwanja.....nimevutiwa kiainaMie nina eneo hapo ilboru nusu heka njia ya kwenda enabo ishu naliuza kwa 8m!!