Jokho
Member
- Feb 9, 2017
- 16
- 7
Habari za wakati huu ndugu zangu,
Shida yangu ni kupata ushauri kutoka kwenu. Mimi nahitaji kufanya mtihani wa form six kama private Candidate kwa mchepuo wa CBN.
Shida yangu kubwa ni kwa wale wanaojua mahala pa kuzipata notes za haya masomo pamoja na vituo vizuri (centres za kufundishia).
Kwa wale ambao walishafanya mtihani wa form six as a private Candidate naomba uzoefu wenu.
Shida yangu ni kupata ushauri kutoka kwenu. Mimi nahitaji kufanya mtihani wa form six kama private Candidate kwa mchepuo wa CBN.
Shida yangu kubwa ni kwa wale wanaojua mahala pa kuzipata notes za haya masomo pamoja na vituo vizuri (centres za kufundishia).
Kwa wale ambao walishafanya mtihani wa form six as a private Candidate naomba uzoefu wenu.