Mzee Dogo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 400
- 140
Binafsi ni msomaji mzuri wa vitabu, kupitia vitabu nimejifunza mengi sana kuhusiana na mitazamo ya waandishi, nimeshawishika kutafuta kitabu chochote kile ambacho kimeandikwa na mpendwa rais wetu (JMK) ili niweze kujua mitazamo yake kuhusiana na mambo mbalimbali yanayoisibu jamii ya watanzania.
Mwenye ufahamu wa wapi naweza kukipata naomba msaada tafadhari
Mwenye ufahamu wa wapi naweza kukipata naomba msaada tafadhari