kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Achana na washamba hao kila siku ni kuwatisha watu, akili zao zimedumaaNilipata kariakoo kwa mwarabu mmoja aonavyo a nauza laki 4
Achana na washamba hao kila siku ni kuwatisha watu, akili zao zimedumaaNilipata kariakoo kwa mwarabu mmoja aonavyo a nauza laki 4
Kweli kab.isa ata youtube wameomnyesha kwamba znashda sana na kioo cha mbeleNimesoma Review nyingi kuhusu Mazda Cx5 na moja ya matatizo ya hizi gari ni Kwamba kioo cha mbele ni rahisi sana ku Crack. Kwa uzi huu pamoja na CX5 nyingine mbili nimeziona zote zina Kioo cha brand ya XYG maana yake Wind Screen ilishabadilishwa. Na kuna CX5 moja nimeiona Juzi Maeneo ya Coco Beach nayo Kioo cha Mbele kina Crack upande wa Kushoto wote ila jamaa bado Hajakibadilisha.
Kuhusu repair gereji yako ni ipi maana hawa mafundi juma siwaaminjChangamoto za gari ni za kawaida spare zipo mkuuu
Wanapatikana wapi??Mi huwa nafundi nao waamini waalio bobea