Natafuta kijana mwenzangu tuchangie kodi ya pango wakati tuna-hustle kutafuta maisha

Ngoja wenye nyumba zao wakusaidia hata room moja ila usisahau kuwapunguzia na majukumu kwa wake zao maana huwa majamaa haya huchoka sana na kaz
Heheheheheh yani apewe support kwenye nyumba ya mtu wakati anataka geto?
 
Inategemea eneo na eneo (eg mitaa ya Mbezi beach,Masaki ni high end wakati mitaa kama ya Temeke,Tandika,ni low end) ila andaa kati ya kuanzia 85,000 hadi 200,000. Hizi nime-assume kuwa unataka yenye choo cha ndani (self contained)
Kimara zipo nyumba za hivyo kwa 85k tu ghetto self lililosimama fresh
 
Nenda vijiwe vya mdalali uulize vyumba vya bei rahisi kama vipo, hao ndo huwa wana detail za mitaa mingi.

Maeneo ya makumbusho kule, manzese yote ile, magomeni, buguruni kule tabata nako huwezi kosa vyumba vya 30k na 20k.
Kuna jamaa angu alikua anakaa segerea pale chumba 30k, kizuri kabisa +umeme na maji ya dawasko vipo pale.

Kwahiyo inategemeana na ww mishe zako unapigia wapi.
Akienda hao lazma watampasua tu huwajui madalali wewe 😅😅😅
 
Inategemea eneo na eneo (eg mitaa ya Mbezi beach,Masaki ni high end wakati mitaa kama ya Temeke,Tandika,ni low end) ila andaa kati ya kuanzia 85,000 hadi 200,000. Hizi nime-assume kuwa unataka yenye choo cha ndani (self contained)

Kaaah
 
Kushare chumba ni shughuli pevu aise, kama ndugu kibao tu wanashindwa ishi room moja huyu yuko safi huyu yuko rough huyu anaoga huyu kuoga kwake mwiko sembuse kwa watu baki wawili? Anyways kila la kheri.
 
Habari Wakuu,
Kabla ya yote naomba Nikiri kwamba Hali ya maisha imekuwa tough Sana especially kwa sisi vijana tunaohustle kuanza maisha Bila ya kuwa na blueprint ( ramani) ya kueleweka ya kutupatia regular income hapa mjini.

Binafsi ni kijana ambaye nimeamua kung'atuka nyumbani na kuja apa jijini dar es salaam kutafta michongo ya hapa na pale Kama mnavojua Wakuu ukubwa Auna kengele sometimes inabidi ufanye maamuzi ya kuanzisha maisha yako no matter what Maana Watu wanasema Kama mambo ayaendi nenda wew
Kwa sasa ni mwezi umekata na nimefikia kwa ndugu, na Kama mnavojua kuishi kwa ndugu tena vitimbi vitimbi vya hapa na pale uwa havikosekani.

Kwa heshima na tahadhima Nimeona nije hapa jukwaani Kama kuna Mtu anapitia Hali Kama yangu tuweze kuunganisha nguvu tuchangie kodi tuchukue room ya bei nafuu tusongeshe maisha kibishi uku tunafukuzia michongo na Harakat au Kama kuna Mtu labda amepanga Tayr na anaona amepwaya kidogo niweze kumuongezea nguvu nijishikize Huku nikiseti Harakat zangu, Hii ni kutokana na bajeti yangu kuwa finyu na Bado cijaielewa mitaa vizuri, kodi irange 30-40 kwa mwezi

Naomba kuwasilisha wakuu
0657288997 contact me for more info

Merci"
Nenda Mbagala Mkuu kule utaweza kupata vyumba vya bei nafuu, hata chakula pia..
Nenda njee ya mji kama madale , cahnika kitonga huko
 
Habari Wakuu,
Kabla ya yote naomba Nikiri kwamba Hali ya maisha imekuwa tough Sana especially kwa sisi vijana tunaohustle kuanza maisha Bila ya kuwa na blueprint ( ramani) ya kueleweka ya kutupatia regular income hapa mjini.

Binafsi ni kijana ambaye nimeamua kung'atuka nyumbani na kuja apa jijini dar es salaam kutafta michongo ya hapa na pale Kama mnavojua Wakuu ukubwa Auna kengele sometimes inabidi ufanye maamuzi ya kuanzisha maisha yako no matter what Maana Watu wanasema Kama mambo ayaendi nenda wew
Kwa sasa ni mwezi umekata na nimefikia kwa ndugu, na Kama mnavojua kuishi kwa ndugu tena vitimbi vitimbi vya hapa na pale uwa havikosekani.

Kwa heshima na tahadhima Nimeona nije hapa jukwaani Kama kuna Mtu anapitia Hali Kama yangu tuweze kuunganisha nguvu tuchangie kodi tuchukue room ya bei nafuu tusongeshe maisha kibishi uku tunafukuzia michongo na Harakat au Kama kuna Mtu labda amepanga Tayr na anaona amepwaya kidogo niweze kumuongezea nguvu nijishikize Huku nikiseti Harakat zangu, Hii ni kutokana na bajeti yangu kuwa finyu na Bado cijaielewa mitaa vizuri, kodi irange 30-40 kwa mwezi

Naomba kuwasilisha wakuu
0657288997 contact me for more info

Merci"
Dogo komaa hizi ndio dalili za upunga. Badala ya kutafuta demu akusaidie kusafisha geto akupe challenges ununue na mapazia na kitanda kizuri we unataka kulala geto na mwanaume mwenzako.

Vijana wa siku hizi shida tupu. Tafuta geto hata ya buku 30 kwa mwezi acha ubwege utapumuliwa.
 
Hii majuu ipo sana, zinaitwa share house and rooms......sema kibongo bongo watu wana mitabia ya hovyo hovyo na isiyo tabirika plus ulozi, uchawi na matakataka kama hayo na discipline in general ipo chini.
Majuu kwenyewe wanakaa wenye tabia moja mambo ya kukaa na kingese utaweza? Huyu dogo atacute room aache mambo ya kuchangia atapumuliwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom