Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,604
- 11,918
Kama huwezi kuishi kivyako bora kurudi kwa wazee ukajipange upya! Yaani kuokoteza li mtu tu mtaani mkaishi pamoja? Utajuta!Kweli kabisa ni risk lakini kwa sas naona Kama Sina option daah
Kama huwezi kuishi kivyako bora kurudi kwa wazee ukajipange upya! Yaani kuokoteza li mtu tu mtaani mkaishi pamoja? Utajuta!Kweli kabisa ni risk lakini kwa sas naona Kama Sina option daah
Daah! umeshavuruga masharti ya JF......Kasoro Mimi tu
Brother Be careful with ur words before u spit them out, Kama Auna cha kushauri ungekaa kimy kaka sio unaleta kejeli mkubwa, qmamako ukoo wenu ndo unapumuliwa, JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala off
Kaka me Niko very humble, lakin uyo brother amekuja apo juu ana ni accuse kabisa kwa matusi na maneno machafu, Kama akuwa na kitu positive cha kuchangia ci Angekaa kmya tuNilikuwa na wazo lakini kwa ulivyo mjibu jamaa umekosa busara,Mambo mengine watu wanakutega wakuone umtu wa namana gani,ungemjibu kwa busara ukute Angekuwa moja ya msaada wako.
we jamaa mbona umekazania sana mambo ya kupumuliana ndo michezo yako nini?Majuu kwenyewe wanakaa wenye tabia moja mambo ya kukaa na kingese utaweza? Huyu dogo atacute room aache mambo ya kuchangia atapumuliwa.
Mjini hapa , wanaume huwa hawakai rum moja wanaume wawili mzee. Heri useme unatafuta mtu mchangie nyumba hata kama ya vyumba viwili mchangie sebule na jiko Ila kila mtu na geto yake.we jamaa mbona umekazania sana mambo ya kupumuliana ndo michezo yako nini?
Inategemea kama anajua mbinu za kum-win lomama aje mageton na kupiga show sio amlete kuangalia MamboTvHahahhaha Exile ndio kipengele manina ila nae lazma atakutwanga exile pia! Nakumbuka enzi ya chuo kuna mdau nilikuwa namgonga Exile mpaka sio poa!
Vyumba vipo unakaa dar ganiHabari Wakuu,
Kabla ya yote naomba Nikiri kwamba Hali ya maisha imekuwa tough Sana especially kwa sisi vijana tunaohustle kuanza maisha Bila ya kuwa na blueprint ( ramani) ya kueleweka ya kutupatia regular income hapa mjini.
Binafsi ni kijana ambaye nimeamua kung'atuka nyumbani na kuja apa jijini dar es salaam kutafta michongo ya hapa na pale Kama mnavojua Wakuu ukubwa Auna kengele sometimes inabidi ufanye maamuzi ya kuanzisha maisha yako no matter what Maana Watu wanasema Kama mambo ayaendi nenda wew
Kwa sasa ni mwezi umekata na nimefikia kwa ndugu, na Kama mnavojua kuishi kwa ndugu tena vitimbi vitimbi vya hapa na pale uwa havikosekani.
Kwa heshima na tahadhima Nimeona nije hapa jukwaani Kama kuna Mtu anapitia Hali Kama yangu tuweze kuunganisha nguvu tuchangie kodi tuchukue room ya bei nafuu tusongeshe maisha kibishi uku tunafukuzia michongo na Harakat au Kama kuna Mtu labda amepanga Tayr na anaona amepwaya kidogo niweze kumuongezea nguvu nijishikize Huku nikiseti Harakat zangu, Hii ni kutokana na bajeti yangu kuwa finyu na Bado cijaielewa mitaa vizuri, kodi irange 30-40 kwa mwezi
Naomba kuwasilisha wakuu
0657288997 contact me for more info
Merci"