King mkucha
Member
- Oct 14, 2016
- 89
- 70
Mimi ni kijana naishi dar es salaam nina miaka 25 nahitaji kazi yoyote ile au hata kibarua chochote ila naomba kiwe nje ya dar .... nitafurahi sana kama nikipata
HatupoiKama ulifeli kwa nn unasumbua watu????
mliofaulu mnasumbua sanaKama ulifeli kwa nn unasumbua watu????
Muulize yupo wapi saivi na ufaulu wakemliofaulu mnasumbua sana
Kama ulifeli kwa nn unasumbua watu????
aisee we jamaa na nataman nione sura yakoKama ulifeli kwa nn unasumbua watu????
Kama ulifeli kwa nn unasumbua watu????
HahaKama ulifeli kwa nn unasumbua watu????
Kama ulifeli kwa nn unasumbua watu????
Kuna dada alikuw anatafta vijana wawil kwend kumfumania mme wake, kwa elim yako vp nikuunganishe mkuu..?
Tumia akili wewe, post inapokaa bila mtu kucoment inakuw chin sana lakin mtu akicoment anaifany inakuw juu so nirahic hata watu wengne kuiona..!I was helping