Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,900
Gardaworld inachukua darasa la 7?KAMA unaweza kupata cheti cha kuanzia darasa la saba na kuendelea na kama unaweza kufanya kazi kwenye kampuni ya ulinzi ebu njoo kwenye kampuni yetu hapa unaweza kupata mshahala kuanzia 250k ambao kwa mtoto wa kike ukijibana kwa muda wa mwaka mmoja unaweza kupata mtaji...
kampuni hiyo ipo mikocheni b....pale kwa mwinyi...inaitwa GARDAworld