Sweet Mother
Member
- Nov 3, 2010
- 19
- 1
Habari za jioni ndugu zangu,
Naombeni msaada wenu japo nipate link ya ajira
Kwa sasa ni mwajiriwa katika kampuni binafsi na ninafanya kazi kama mtakwimu (Researcher and data management)
Kifupi siridhiki na mahali nilipo ndo maana bado natoa macho,naombeni msaada wenu kwa mwenye link.
Niwatakie jioni njema
Naombeni msaada wenu japo nipate link ya ajira
Kwa sasa ni mwajiriwa katika kampuni binafsi na ninafanya kazi kama mtakwimu (Researcher and data management)
Kifupi siridhiki na mahali nilipo ndo maana bado natoa macho,naombeni msaada wenu kwa mwenye link.
Niwatakie jioni njema