utaleta sh ngapi kwa wiki?
Nani atajaza mafuta, nani atahudumia service ya kawaida, nani atawajibika na Traffic fine, unapenda gari liwe na bima aina gani, uatafanya kazi masaa mangapi kwa siku, kama gari haifanyi kazi usiku itapakiwa kwako au kwangu, je una uzoefu wa udereva miaka mingapi na je unaweza onyesha CV yako kwa tajiri, je una wadhamini wanaoweza kukudhamini mali isiyohamishika etc...
Njoo pm mkuuNani atajaza mafuta, nani atahudumia service ya kawaida, nani atawajibika na Traffic fine, unapenda gari liwe na bima aina gani, uatafanya kazi masaa mangapi kwa siku, kama gari haifanyi kazi usiku itapakiwa kwako au kwangu, je una uzoefu wa udereva miaka mingapi na je unaweza onyesha CV yako kwa tajiri, je una wadhamini wanaoweza kukudhamini mali isiyohamishika etc...
Nani atajaza mafuta, nani atahudumia service ya kawaida, nani atawajibika na Traffic fine, unapenda gari liwe na bima aina gani, uatafanya kazi masaa mangapi kwa siku, kama gari haifanyi kazi usiku itapakiwa kwako au kwangu, je una uzoefu wa udereva miaka mingapi na je unaweza onyesha CV yako kwa tajiri, je una wadhamini wanaoweza kukudhamini mali isiyohamishika etc...
Unaogopa kujibu hadharani utajichanganya eee?Njoo pm mkuu
Mbona Nafasi za Udereva huwa nyingi sana mkuu.Kama kichwa cha habari kinajielezea. Mimi nna uzoefu na pikipiki, gari(za Uber) na nna certificate mechanics. Naombeni sana wadau kama kuna mtu ana conction tusaidiane jamani hali ngumu.
Asanteni