Natafuta kazi

kim000

Member
Sep 8, 2018
8
4
habari wapendwa natafuta kazi ya udereva kulingana na uzoefu wangu kwa mwaka mmoja sasa leseni yangu ni daraja D pia elimu yangu ni cheti cha form four ninao uzoefu na sifa za dereva bora kabisa..kama kuna kazi ndugu mshahara me nafanya kazi sawa na bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom