habari wapendwa natafuta kazi ya udereva kulingana na uzoefu wangu kwa mwaka mmoja sasa leseni yangu ni daraja D pia elimu yangu ni cheti cha form four ninao uzoefu na sifa za dereva bora kabisa..kama kuna kazi ndugu mshahara me nafanya kazi sawa na bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.