catrina matemba
Member
- Aug 17, 2017
- 40
- 15
Mimi ni msichana ninaelimu ya kidato cha nne nipo kigoma.
ninatafuta kazi ya stationary/Secretary / reception ninauzoefu na kazi hizi kwa mda mrefu sana. Pia hata kazi za kuuza bidhaa zozote.
ambaye ana connection na mtu anaehitaji mfanya kazi wa kazi hizo au yeye mwenyewe Tafadhali ni PM
ninatafuta kazi ya stationary/Secretary / reception ninauzoefu na kazi hizi kwa mda mrefu sana. Pia hata kazi za kuuza bidhaa zozote.
ambaye ana connection na mtu anaehitaji mfanya kazi wa kazi hizo au yeye mwenyewe Tafadhali ni PM