Natafuta kazi za ndani

😂😂😂😂 We jamaa una hoja nyepesi sana. We chukua maana kuu, achana na huo uandishi wangu.

Hata yeye angeandika kiswahili hata angekosea kama mimi hapo juu, lengo lake lingefahamika tu. Na pia zote ulizotaja hapo ni sababu za mwandiko wangu mbaya.
Hii ni comment tu wala sio uzi ndgu yangu, kikubwa umeelewa.
nimekubali...ili tuelewana na umsaidie.Maana kumbe umeona hata yeye angekosea basi mpe uhuru....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom