beny jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 822
- 1,133
Habari wanajamvi mimi nikija nina miaka 26 nadhani kama mtakumbuka miezi kadhaa niliandika topic ya kuomba ushauri baada ya kudisco chuo nimekaa nimetafakari naona kama nachanganyikiwa nimepoteza direction, naomba yeyote mwenye mapenzi mema anasaidie kupata kibarua au kama kuna mahali wnatafuta kijana mchapakazi na muaminifu nipo tayari kufanya kazi yoyote