mbena yero
Member
- Jan 13, 2017
- 53
- 21
Habari za muda huu ndugu zangu, nakuja tena kwa awamu nyingine mimi ni Mwanaume umri wangu ni miaka 25 Elimu yangu ni kidato cha nne, nipo mkoa wa Iringa, nipo hapa kutafuta kazi kwa yeyote atakae kuwa na uhitaji wa mfanyakazi au kwa yeyote atakae nisaidia hatua au ushauri wowote juu ya hili ombi langu, Asanteni