rais wa mtaa
Member
- Oct 29, 2017
- 11
- 5
Habari ya uzima wenu wana jamvi!
Mimi ni kijana wa chuo umri 24, mwaka wa pili katika usimamizi wa biashara Moja ya chuo mjini Dar-es-salaam. Masomo yangu ni jioni kuanzia saa kumi. Nje ya kusoma degree now nina cheti pamoja na diploma vyenye ufaulu mzuri tu (diploma 1 class).
Licha ya kusoma nimekuwa nikifanya biashara zangu ndogo ndogo lakin nakabiliwa na changamoto ya ufinyu wa mtaji. Nafkiri njia pekee ya kuweza kukuza biashara yangu ni Kuwa na mtaji wa kutosha na njia pekee ni kuweza kutafuta kazi ambayo hata Kama nikikopa nitakuwa na uwezo wa kulipa kila mwezi.
Nipo tayar kufanya kazi yeyote ilimradi tu iwe halali na iweze kuniruhusu kwenda darasani. Naombeni msaada wenu wakuu
Mimi ni kijana wa chuo umri 24, mwaka wa pili katika usimamizi wa biashara Moja ya chuo mjini Dar-es-salaam. Masomo yangu ni jioni kuanzia saa kumi. Nje ya kusoma degree now nina cheti pamoja na diploma vyenye ufaulu mzuri tu (diploma 1 class).
Licha ya kusoma nimekuwa nikifanya biashara zangu ndogo ndogo lakin nakabiliwa na changamoto ya ufinyu wa mtaji. Nafkiri njia pekee ya kuweza kukuza biashara yangu ni Kuwa na mtaji wa kutosha na njia pekee ni kuweza kutafuta kazi ambayo hata Kama nikikopa nitakuwa na uwezo wa kulipa kila mwezi.
Nipo tayar kufanya kazi yeyote ilimradi tu iwe halali na iweze kuniruhusu kwenda darasani. Naombeni msaada wenu wakuu