babamtarajiwa
Member
- May 15, 2017
- 73
- 37
- Thread starter
- #21
Soma vizur tangazo la ombi langu johmkuu cheti chako ni cha ngazi ipi, isije kuwa ni certificate , maana tanzania nayo kwa vyeti inaongoza
Soma vizur tangazo la ombi langu johmkuu cheti chako ni cha ngazi ipi, isije kuwa ni certificate , maana tanzania nayo kwa vyeti inaongoza
Dhaaa!!! Kweli sometimes
Elim/shule haina maana
Kama umesoma af kupata kaz n mbinde
Hata tulioishia st kayumba tunakula bhata kuliko
Wenye elim yao
akijibu hili swal msaidieni apate kaz lakini akishindwa mwacheni apite hukoSwali la kufikirisha
Wakati unaamua kusoma iT ulikua na maono gani kuhusu kozi uliyosomea, tuanzie hapo labda!
Qaaaaah aaah aaah sio kwa certificate ya bongo tena usikute amazon college.... labda kama alikua vizur tokea kwao.....Mkuu katika field yako ya IT umebobea katika maswala gani
Maana kuna mtu amebobea katika
1.DESKTOP SUPPORT AND CUSTOMER CARE SERVICES
2.COMPUTER SERVICES TECHNICIAN.
3.WEB DESIGN AND ADMNISTRATION.
4.SECURITY SYSTEM INSTALLER
5.WIRELESS TECHNOGY SPECIALIST
6.LOCAL AREA NETWORKING
7.DATABASE ADMNISTRATION
8.ANDROIB MOBILE APPLICATION DEVELOPER
9.NETWORK CABLING AND TRUNKING TECHNCIAN.
10.NETWORK DESIGNING AND CONFIGURATION OF NETWORK DEVICES.
12.WIDE AREA NETWORKING
13.COMPUTER APPLICATIONS TRAINING EXPART hapa nina maana are u able to teach computer courses.
Sasa mpaka ningependa kufahamu umebobea katika eneo lipi ili nikupe maelekezo organazion wanao deal na IT EXPART NA IT REQUITMENT AGENCY IN TANZANIA
Amen!! UbarikiweKaka MUNGU atakuongoza utapata ndugu yangu
Sio ya ulinzi nina sababu zangu za msingi ndiomana nika tangaza hivoUna cheti cha IT halafu unatafuta kazi yoyote? Unataka kazi ya kuingia isiku,nitafute nikupe kazi ya ulinzi..!!
Unajua nimesomea wap? Au unakurupuka ndugu,Qaaaaah aaah aaah sio kwa certificate ya bongo tena usikute amazon college.... labda kama alikua vizur tokea kwao.....
All the best.