Natafuta kazi yoyote kati ya hizi, nimesoma kidato cha nne pia nina certificate ya entrepreneurship

Kuwa makini unaweza kuahidiwa ajira huku ukiweka mwili wako rehani, baada ya kuchambuliwa kama karanga utaachwa solemba.
 
Habari wapendwa mimi ni kijana wa kike nina umri wa miaka 27 elimu yangu ni kidato cha nne pia nina certificate ya entrepreneurship natafuta kazi yoyote kati ya hizi:-

Asanteni
Hio Certificate na Elimu yako inaniambia hauhitaji ajira bali wewe ndio unaweza hata kuniajiri mimi au kuniambia vipi naweza kupata mkate wangu wa kila siku.....
 
Habari wapendwa mimi ni kijana wa kike nina umri wa miaka 27 elimu yangu ni kidato cha nne pia nina certificate ya entrepreneurship natafuta kazi yoyote kati ya hizi:-

Stationary
Secretary
Duka lolote
Reception
Costumer Care
Wakala wa miamala Mbalimbali

Nina uzoefu wa Computer Full Stationary Service Nimewahi kufanya sehemu Mbalimbali kwa kujitolea hivyo nahitaji kupata ajira kwasasa niko vizuri sana.

Nipo Dar es salaam Tabata.

Naombeni ni PM kwa maelezo zaidi

Asanteni
Personally ntakuajiri baada ya miezi miwili yaan 1st of May kama bado utakuwa hujapata ajira.
 
Naomba mtaji ndugu au kuna kujiajiri bila mtaji
Mimi tajuaje ndugu nilidhani hayo ndio mgejifunza huko kwenye Entrepreneurship Certificate

1. Personal Savings; Hizo utakuwa hauna

2. Patient Capital; Ndugu jamaa na marafiki

3. Angel Investing; Hapa kama una wazo zuri unaweza kuongea na mtu mwenye pesa akawekeza kwako

4. Venture Capital; Sawa kama angel investing

5. Incubators; Sidhani kama hizi Bongo ni nyingi ili zipo

6. Bank Loans; Hii ni ngumu kama hauna Collateral ila labda VIKOBA, n.k.

7. Government Grants; Hii ni ngumu unless una kitu ambacho kitasaidia Jamii

8. Bartering; Hii unaweza kufanya kama unatoa huduma mfano chakula au kuuza bidhaa unaweza kupata bidhaa kwa mali kauli

9. Partnership; Kama una kitu (ujuzi idea n.k.) tafuta mwenye funds mfanye kazi

10. Peer-to-Peer Lenders; Bongo sio nyingi

11. Major Customer Commitment; Kama una ujuzi fulani au bidhaa fulani unaweza kuongea na mteja akakupa commitment ya kununua wewe ukatumia hiyo commitment kutafuta loan either Bank au kwa Wadau

12. Crowdfunding Campaign; Bongo sio nyingi
 
Mimi tajuaje ndugu nilidhani hayo ndio mgejifunza huko kwenye Entrepreneurship Certificate

1. Personal Savings; Hizo utakuwa hauna

2. Patient Capital; Ndugu jamaa na marafiki

3. Angel Investing; Hapa kama una wazo zuri unaweza kuongea na mtu mwenye pesa akawekeza kwako

4. Venture Capital; Sawa kama angel investing

5. Incubators; Sidhani kama hizi Bongo ni nyingi ili zipo

6. Bank Loans; Hii ni ngumu kama hauna Collateral ila labda VIKOBA, n.k.

7. Government Grants; Hii ni ngumu unless una kitu ambacho kitasaidia Jamii

8. Bartering; Hii unaweza kufanya kama unatoa huduma mfano chakula au kuuza bidhaa unaweza kupata bidhaa kwa mali kauli

9. Partnership; Kama una kitu (ujuzi idea n.k.) tafuta mwenye funds mfanye kazi

10. Peer-to-Peer Lenders; Bongo sio nyingi

11. Major Customer Commitment; Kama una ujuzi fulani au bidhaa fulani unaweza kuongea na mteja akakupa commitment ya kununua wewe ukatumia hiyo commitment kutafuta loan either Bank au kwa Wadau

12. Crowdfunding Campaign; Bongo sio nyingi

Ohoo sawa
 
Ukipata kazi jitahidi upunguze mambo ya kushinda jamii forum maana utakosana na mwajili wako
 
Back
Top Bottom