Natafuta kazi yoyote ile ila isiwe Ulinzi. Nipo Dar es Salaam

Abbyarico

Member
Aug 5, 2021
50
41
Please wana JF kama nilivyosema kwenye kichwa hapo juu. Natafuta kazi yeyote ile ila isiwe ulinzi nipo Dar es Salaam

Kama kuna mwenye connection please naomba anisaidie na mimi niweze kujikwamua

Jinsia yangu ni wa kiume
Umri miaka 23
Elimu yangu Form 4

Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote ule ndani na nje ya Tanzania

Ntafurahi sana kama mtanishika mkono wana JF

Mungu awabariki sanaaaa
 
Kwa Elimu yako hapa mjini kazi ya upesi upesi ni ulinzi, sasa kwa kukushauri kaombe ulinzi kampuni kubwa Kama G4S halafu oumbe night shift ujiendeleze kielimu wakati wa mchana. Maisha yanaanza na moja, ingawa siyo Mara zote, na yakianza na tatu uwe makini.

Huo ulinzi ufanye Kama unatumikia adhabu ya ujinga wako kufeli, halafu apply chuo Ni miaka miwili tu utakuwa umehitimu. Vinginevyo utapoteza muda.
 
Kwa Elimu yako hapa mjini kazi ya upesi upesi ni ulinzi, sasa kwa kukushauri kaombe ulinzi kampuni kubwa Kama G4S halafu oumbe night shift ujiendeleze kielimu wakati wa mchana. Maisha yanaanza na moja, ingawa siyo Mara zote, na yakianza na tatu uwe makini.

Huo ulinzi ufanye Kama unatumikia adhabu ya ujinga wako kufeli, halafu apply chuo Ni miaka miwili tu utakuwa umehitimu. Vinginevyo utapoteza muda.

Ahsante sana ndugu yangu napokea ushauri wako Mungu akubariki
 
Kwa Elimu yako hapa mjini kazi ya upesi upesi ni ulinzi, sasa kwa kukushauri kaombe ulinzi kampuni kubwa Kama G4S halafu oumbe night shift ujiendeleze kielimu wakati wa mchana. Maisha yanaanza na moja, ingawa siyo Mara zote, na yakianza na tatu uwe makini.

Huo ulinzi ufanye Kama unatumikia adhabu ya ujinga wako kufeli, halafu apply chuo Ni miaka miwili tu utakuwa umehitimu. Vinginevyo utapoteza muda.
kuna watu tuna degree , ila hata hiyo kaz ya ulinzi tunaitaka

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Kwa Elimu yako hapa mjini kazi ya upesi upesi ni ulinzi, sasa kwa kukushauri kaombe ulinzi kampuni kubwa Kama G4S halafu oumbe night shift ujiendeleze kielimu wakati wa mchana. Maisha yanaanza na moja, ingawa siyo Mara zote, na yakianza na tatu uwe makini.

Huo ulinzi ufanye Kama unatumikia adhabu ya ujinga wako kufeli, halafu apply chuo Ni miaka miwili tu utakuwa umehitimu. Vinginevyo utapoteza muda.
Kabisa maisha yanaanza naa moja.
Boss wangu alieniajili apa alikua mlinzi, akaajiendeleza na sasa ana makampuni makubwa na moja wapo ameniajili na mimi pia.



Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
pole sana rafiki yangu...mimi nina diploma ya uandishi wa habari lakini ni mlinzi mzuri kwenye kampuni ninayofanyia kazi mtu anaelipwa kiwango kidogo cha mshahala ni 250k...ambayo haina longo longo kabisa...mimi ni mlinzi ambae sina cheo chochote na ninachukua mshahala mzuri tu zaidi ya 580k kwa mwezi...sasa wewe mwenzangu na elimu yako ya kidato cha nne kweli unachagua kazi...?
 
pole sana rafiki yangu...mimi nina diploma ya uandishi wa habari lakini ni mlinzi mzuri kwenye kampuni ninayofanyia kazi mtu anaelipwa kiwango kidogo cha mshahala ni 250k...ambayo haina longo longo kabisa...mimi ni mlinzi ambae sina cheo chochote na ninachukua mshahala mzuri tu zaidi ya 580k kwa mwezi...sasa wewe mwenzangu na elimu yako ya kidato cha nne kweli unachagua kazi...?

Kaka tuwe tunaulizana kwanini kazi ya ulinzi nimeikataa sio kwamba siwezi kufanya ni mbaya hapana ila kunasababu ambazo zipo njee ya uwezo wangu ndio maana nikasema ivyo..japo walio wengi humu wamenielewa vibaya
Kwamba nazarau kazi nooo sio kweli
 
Please wana Jf kama nilivyosema kwenye kichwa hapo juu. Natafuta kazi yeyote ile ila isiwe ulinzi nipo Dar es Salaam
Kama kuna mwenye connection please naomba anisaidie na mimi niweze kujikwamua

Jinsia yangu ni wa kiume
Umri miaka 23
Elimu yangu Form 4

Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote ule ndani na njee ya Tanzania
Ntafurahi sana kama mtanishika mkono wana JF

Mungu awabariki sanaaaa
Mkuu umenikumbusha mbali Sana.

Nakumbuka miaka 20 iliyopita,,nikiwa nahangaika kutafuta kazi.

Baba yangu alinihusia kufanya kazi yeyote halali isipokuwa kazi ya ulinzi.
Nilimuelewa Sana ..

Big up mkuu,,
Mungu akutangulie,, hakika utapata kazi halali itakayokusaidia kupunguza makali ya maisha...
 
Mkuu umenikumbusha mbali Sana.

Nakumbuka miaka 20 iliyopita,,nikiwa nahangaika kutafuta kazi.

Baba yangu alinihusia kufanya kazi yeyote halali isipokuwa kazi ya ulinzi.
Nilimuelewa Sana ..

Big up mkuu,,
Mungu akutangulie,, hakika utapata kazi halali itakayokusaidia kupunguza makali ya maisha...

Inshallah Mungu afanye wepesi
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom