King Loto
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,573
- 1,343
Ngoja nifanye job Re-advertisement nione nakusaidiaje huwezi acha letter CV ipotee hivi hivi.....nimesurrender na kazi yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nifanye job Re-advertisement nione nakusaidiaje huwezi acha letter CV ipotee hivi hivi.....nimesurrender na kazi yako
Mnapoleta utani wenu kwenye post ya mwenzenu haileti taswira nzr. Sio vyemanaanza kesho jion mazoez.. mwili upo fit..ila ngoja niendelee kujifua kbs...!na itabudi tutafute usafiri classic mkuu...!bata batani..vibe kama loote...kama najiona hahahahah...new manengelo..nitabadili hadi jina...natafta l3nye mvuto
Ngoja nifanye job Re-advertisement nione nakusaidiaje huwezi acha letter CV ipotee hivi hivi.....
Mnapoleta utani wenu kwenye post ya mwenzenu haileti taswira nzr. Sio vyema
Sent using Jamii Forums mobile app
Really hutakiwi kuogopa hivo, ushawahi ona vile vigezo vya kazi labda wanatafuta tu let say driver yaani ni mtiririko wa masharti sijui awe anajua english, Mara computer literate, mara communication skills, hakifika kazini anaangaliwa leseni afu anaongelewa kiswahili...😅😅😅 nimehis una vigezo vingi sana mara wali usinukie nazi😂😂..ss had nikasema nawwza kupika si nina uzoefu tayari jaman😊
Really hutakiwi kuogopa hivo, ushawahi ona vile vigezo vya kazi labda wanatafuta tu let say driver yaani ni mtiririko wa masharti sijui awe anajua english, Mara computer literate, mara communication skills, hakifika kazini anaangaliwa leseni afu anaongelewa kiswahili...
Nashindwa kuwaelewa hawa nduguMnapoleta utani wenu kwenye post ya mwenzenu haileti taswira nzr. Sio vyema
Sent using Jamii Forums mobile app
acheni kuharibu uzi wa mshikajinipo serious mkuu..tuacje masikhara basi jaman.
Dodoma zpo tenda kibao ktk ujenziHabari za muda huu ndugu zangu ,
Mimi ni kijana mwenye miaka 29 Elimu yangu ni kidato cha pili. Niliishia hapo kutokana na kushindwa kumudu gharama za shule. Kutokana na hayo nikaamua kuingia mtaani kusaka maisha.
Kwa bahati mbaya huku nilipo kazi zimekuwa ya shida kweli. Nimekuwa nikiwaomba marafiki zangu wengi wanitafutie kazi, ndipo nikakutana na mmoja akanishauri nijiunge na hii familia ya JAMIIFORUMS kisha nilitume ombi langu la kutafuta kazi
Kaka zangu nimekuja hapa kuomba kwa yoyote aliye na kazi au aliyesikia kazi mahali anishirikishe ili niende nikafanye. Niko tayari kwenda popote kufanya kazi iliyohalali, hata kama ni nje ya ardhi ya Tanzania ,mfano Kenya Uganda n.k
Nimesema sichagui kazi wala sehemu ya kufanyia kikubwa kazi isiwe ya haramu .
Nikipata kazi ya kuuza maduka iwe ya jumla au rejareja niko sawa tu, nikipata kazi sheli niko sawa tu, nikipata kazi ya ulinzi niko sawa tu, nikipata kazi ya kusimamia mradi niko sawa tu, nikipata kazi kwenye magari ya masafa marefu niko sawa tu.
Nikipata kazi kwenye kampuni za wanyama pori niko sawa tu, na kazi nyingine nyingi nina uwezo wa kufanya. Kikubwa maelewano
Na pia sijaoa kwahiyo nikipata kazi sitakuwa na usumbufu wa kusema naomba siku mbili tatu nikasalimie mke na watoto .
Niko tayari kufanya kazi yako ,Naomba kazi
Niko tayari kufanya na wewe ,Naomba kazi
Pia kwenye kazi zinazohitaji kuandika na kupiga hesabu ,usihofu niko vizuri
Kwa aliye tayari aliambie ili tupeane mawasiliano .
Niko serious ndugu zangu ,hata mtu akiniambia niende kesho nikafanye kazi naenda tu .
Mungu awabariki sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kazi za "ndani" falme za kiarabu hupo tiyariHabari za muda huu ndugu zangu ,
Mimi ni kijana mwenye miaka 29 Elimu yangu ni kidato cha pili. Niliishia hapo kutokana na kushindwa kumudu gharama za shule. Kutokana na hayo nikaamua kuingia mtaani kusaka maisha.
Kwa bahati mbaya huku nilipo kazi zimekuwa ya shida kweli. Nimekuwa nikiwaomba marafiki zangu wengi wanitafutie kazi, ndipo nikakutana na mmoja akanishauri nijiunge na hii familia ya JAMIIFORUMS kisha nilitume ombi langu la kutafuta kazi
Kaka zangu nimekuja hapa kuomba kwa yoyote aliye na kazi au aliyesikia kazi mahali anishirikishe ili niende nikafanye. Niko tayari kwenda popote kufanya kazi iliyohalali, hata kama ni nje ya ardhi ya Tanzania ,mfano Kenya Uganda n.k
Nimesema sichagui kazi wala sehemu ya kufanyia kikubwa kazi isiwe ya haramu .
Nikipata kazi ya kuuza maduka iwe ya jumla au rejareja niko sawa tu, nikipata kazi sheli niko sawa tu, nikipata kazi ya ulinzi niko sawa tu, nikipata kazi ya kusimamia mradi niko sawa tu, nikipata kazi kwenye magari ya masafa marefu niko sawa tu.
Nikipata kazi kwenye kampuni za wanyama pori niko sawa tu, na kazi nyingine nyingi nina uwezo wa kufanya. Kikubwa maelewano
Na pia sijaoa kwahiyo nikipata kazi sitakuwa na usumbufu wa kusema naomba siku mbili tatu nikasalimie mke na watoto .
Niko tayari kufanya kazi yako ,Naomba kazi
Niko tayari kufanya na wewe ,Naomba kazi
Pia kwenye kazi zinazohitaji kuandika na kupiga hesabu ,usihofu niko vizuri
Kwa aliye tayari aliambie ili tupeane mawasiliano .
Niko serious ndugu zangu ,hata mtu akiniambia niende kesho nikafanye kazi naenda tu .
Mungu awabariki sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaBiashara ya viungo dili sana sasa hivi kuwa makini Figo yako tusije kuikuta KCMC.
Asante sanaBest wishes mkuu, umejielezea vizuri sana ningekuwa na kazi ningekupa.