MATTBOY
JF-Expert Member
- Jan 27, 2019
- 262
- 194
- Thread starter
- #21
Ubariki kwa kumjibu huyu nduguSasa graduate watazipataje wakati wao ni wasafi hawako tayari kudhalilika, uliona wapi graduate yupo kituo cha mafuta au anaosha magari au kukaanga chipsi, simply no yaani graduate amejikaza sana unaeza mkuta yupo mapokezi au tigo pesa kubwa na ukimuuliza nakuona unapambana bhana yeye anakujibu napoteza poteza muda hapa mkuu, yaani Graduates bhna wa africa wanasemaga napoteza poteza muda utazani wao ni mabahari wa kuchezea muda na kuuleta ujae tena.....
Sent using Jamii Forums mobile app