Kitaabalaa
Member
- Aug 13, 2019
- 69
- 148
Mimi kijana mwenye miaka 29 natafuta kazi yeyote kuhusu elimu mi degree holder, lakini njaa haijui Mambo ya degree.
Nahitaji kazi yeyote iwe halali au haramu. Naweza fanya sales and marketing KUTOKANA na experience ya miaka 3 niliyowahi kufanya kazi Huko nyuma.
Niko morogoro
Nikisema haramu najua mtashangaa lakini maisha haya fucken sana..mliopitia kipindi Kama hiki especially wanaume wenzangu mnaelewa Sana how it feels......
Najua watu wa serikali mnaweza nitega..kiukweli ntategeka
Mwanaume pride yake Ni kuhudumia ampendae na family yake..hivo ngoma inapokua ngumu ndo Mana tunafikiaa maamuzi magumu...
Kazi.kazi..kazi..ata ya labour tu..na dayworker
Nahitaji kazi yeyote iwe halali au haramu. Naweza fanya sales and marketing KUTOKANA na experience ya miaka 3 niliyowahi kufanya kazi Huko nyuma.
Niko morogoro
Nikisema haramu najua mtashangaa lakini maisha haya fucken sana..mliopitia kipindi Kama hiki especially wanaume wenzangu mnaelewa Sana how it feels......
Najua watu wa serikali mnaweza nitega..kiukweli ntategeka
Mwanaume pride yake Ni kuhudumia ampendae na family yake..hivo ngoma inapokua ngumu ndo Mana tunafikiaa maamuzi magumu...
Kazi.kazi..kazi..ata ya labour tu..na dayworker