judey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 430
- 510
Mimi ni kijna wa miaka 22 ,naishi dar es salaam kwa azizi ally Nimeamua kutumia muda wangu kusaidia watu kazi mbalimbali hii nikutokana na wengi kubanwa na majukumu ya kila siku Manunuzi sehemu mbalimbalii mfano sokoni.
Usafi majumbanii ,kuosha gari kumwagilia bustanii na usafi wa kawaida kwa ujumla ,pia kufua nguo. Kusaidia watoto homework au masomo ya ziada baada ya kutoka shule hii ni kwa darasa la kwanza Hadi form four wa shule za kulipia hata wa shule za kawaida Kupanga vitu kwenye nyumba kiweka mapazia na kupanga vitu maofisinii.
Usimamizi wa nyumba kipindi cha ujenzii au usimamizi wa Mali yeyeto. Kwahayo na mengine mengi nitajitolea kufanya kwa uaminifu ambao ndiyo mtaji wangu kwa malipo kidogo tyu ambayo tutaelewa na amani hatutashindana pia nitatoa cheti changu na vitambulisho kama dhamana ikiambatana na barua ya mahalii ninapoishii kutoka kwa mtendaji wa Kijiji.
Kwa mawasiliano zaidii piga 0764240743 pia inapatikana WhatsApp
Mungu awabarikii sana karibunii kwa huduma boraa kwa bei ya kawaida
Usafi majumbanii ,kuosha gari kumwagilia bustanii na usafi wa kawaida kwa ujumla ,pia kufua nguo. Kusaidia watoto homework au masomo ya ziada baada ya kutoka shule hii ni kwa darasa la kwanza Hadi form four wa shule za kulipia hata wa shule za kawaida Kupanga vitu kwenye nyumba kiweka mapazia na kupanga vitu maofisinii.
Usimamizi wa nyumba kipindi cha ujenzii au usimamizi wa Mali yeyeto. Kwahayo na mengine mengi nitajitolea kufanya kwa uaminifu ambao ndiyo mtaji wangu kwa malipo kidogo tyu ambayo tutaelewa na amani hatutashindana pia nitatoa cheti changu na vitambulisho kama dhamana ikiambatana na barua ya mahalii ninapoishii kutoka kwa mtendaji wa Kijiji.
Kwa mawasiliano zaidii piga 0764240743 pia inapatikana WhatsApp
Mungu awabarikii sana karibunii kwa huduma boraa kwa bei ya kawaida