P PHK New Member Jul 12, 2019 3 1 Oct 19, 2021 #1 Habari mkuu! Za hukoo; Mimi nikijana wa miaka 23, naishi Dar es salaam, elimu yangu ni form six nilikuwa naomba msaada wa kazi kwako, nikusaidie katika kazi zako. Mungu akubariki
Habari mkuu! Za hukoo; Mimi nikijana wa miaka 23, naishi Dar es salaam, elimu yangu ni form six nilikuwa naomba msaada wa kazi kwako, nikusaidie katika kazi zako. Mungu akubariki
tang'ana JF-Expert Member Apr 3, 2015 11,809 15,059 Oct 19, 2021 #2 Chuo vipi,huna vigezo vya kujiunga au?
Pile F Senior Member Aug 15, 2020 121 170 Oct 19, 2021 #3 tang'ana said: Chuo vipi,huna vigezo vya kujiunga au? Click to expand... Anatafuta kazi
Maji Chai JF-Expert Member Dec 8, 2018 243 319 Dec 29, 2021 #6 Keco Group ltd said: TUWASILIANE KUHUSU KAZI 0769160000 Click to expand... Vipi nafasi ni chache au na sisi tutume maombi Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
Keco Group ltd said: TUWASILIANE KUHUSU KAZI 0769160000 Click to expand... Vipi nafasi ni chache au na sisi tutume maombi Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app