Natafuta kazi yoyote halali, nina elimu ya kidato cha sita

PHK

New Member
Jul 12, 2019
3
1
Habari mkuu! Za hukoo;

Mimi nikijana wa miaka 23, naishi Dar es salaam, elimu yangu ni form six nilikuwa naomba msaada wa kazi kwako, nikusaidie katika kazi zako.

Mungu akubariki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom