Habari wana JF, Heshima yenu wakuu.
Naomba kwa mtumiaji yeyote wa mtandao huu mwenye taarifa ya uwepo wa kazi sehemu anisaidie mwenzenu nipate chochote maishani.
A: Majina - Godbless Bathromeo.
B:Jinsia - mwanamme.
C:Umri - miaka 25.
D: Elimu - kidato cha sita HKL. ( Nilishindwa kuendelea na chuo kwasababu ya matatizo ya familia yaliyopelekea kushindwa kulipa gharama)
E: Makazi ya sasa - Mbeya mjini - Ilomba
F: Dini na kabila - ( japo katika hili sio utamaduni wetu sana) mkristo, mhehe kutoka Mufindi Iringa
G: Uzoefu wa kazi - zaidi ya kilimo na kufundisha wanafunzi masomo ya ziada, sijawahi kufanya kazi inayoelezeka rasmi.
H: Aina ya kazi ninayohitaji - sichagui kazi, kigezo ni kimoja tu iwe kazi halali
I: Mawasiliano - godblessbathromeo@gmail.com
Naomba radhi kwa hili, nimetumia E-MAIL ili kuwa na uhakika wa Mawasiliano kwani sina simu kwa Sasa ninachoweza kupata ni internet connection na ujumbe kwa njia hii naupata inbox ni haraka na uhakika zaidi popote na kwa njia yeyote iwe simu au Pc hata kama siyo ya kwangu.
NB: kwa watakaoshindwa kutumia E-MAIL wanaweza kutuma ujumbe inbox kwa mpendwa aliesambaza ujumbe huu.
NATANGULIZA SHUKRANI KWA WOTE MTAKAOTUMIA MUDA WENU KUSOMA UJUMBE HUU.
Naomba kwa mtumiaji yeyote wa mtandao huu mwenye taarifa ya uwepo wa kazi sehemu anisaidie mwenzenu nipate chochote maishani.
A: Majina - Godbless Bathromeo.
B:Jinsia - mwanamme.
C:Umri - miaka 25.
D: Elimu - kidato cha sita HKL. ( Nilishindwa kuendelea na chuo kwasababu ya matatizo ya familia yaliyopelekea kushindwa kulipa gharama)
E: Makazi ya sasa - Mbeya mjini - Ilomba
F: Dini na kabila - ( japo katika hili sio utamaduni wetu sana) mkristo, mhehe kutoka Mufindi Iringa
G: Uzoefu wa kazi - zaidi ya kilimo na kufundisha wanafunzi masomo ya ziada, sijawahi kufanya kazi inayoelezeka rasmi.
H: Aina ya kazi ninayohitaji - sichagui kazi, kigezo ni kimoja tu iwe kazi halali
I: Mawasiliano - godblessbathromeo@gmail.com
Naomba radhi kwa hili, nimetumia E-MAIL ili kuwa na uhakika wa Mawasiliano kwani sina simu kwa Sasa ninachoweza kupata ni internet connection na ujumbe kwa njia hii naupata inbox ni haraka na uhakika zaidi popote na kwa njia yeyote iwe simu au Pc hata kama siyo ya kwangu.
NB: kwa watakaoshindwa kutumia E-MAIL wanaweza kutuma ujumbe inbox kwa mpendwa aliesambaza ujumbe huu.
NATANGULIZA SHUKRANI KWA WOTE MTAKAOTUMIA MUDA WENU KUSOMA UJUMBE HUU.